dcsimg

Nyoka-chale ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Nyoka-chale ni nyoka wenye sumu wa jenasi Homoroselaps katika familia Lamprophiidae. Wamepewa jina hili kwa sababu ya milia yao ya rangi nzuri. Wanatokea Afrika ya Kusini.

Nyoka hawa ni wafupi na wembamba, sm 65 kwa kipeo lakini sm 20-40 kwa kawaida. Wana mlia njano au mwekundu kwa urefu mzima wa mgongo na milia myeusi au mabaka meusi mbavuni.

Nyoka-chale hupumzika katika vichuguu na kuwinda kati ya manyasi na katika takataka za majani ambapo hukamata mijusi (mijusi bila miguu hasa) na nyoka wengine wadogo kama birisi.

Chonge ni meno ya nyuma. Nyoka hawa wanaweza kung'ata lakini sumu siyo hatari sana. Hata hivyo inaweza kusababisha kufura na maumivu makali ya kichwa.

Spishi

Marejeo

  • Spawls, S., Howell, K., Drewes, R. & Ashe, J. (2002) A field guide to the Reptiles of East Africa. Academic Press, San Diego, CA, USA.

Viungo vya nje

Crystal Clear app babelfish vector.svg Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nyoka-chale kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Nyoka-chale: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Nyoka-chale ni nyoka wenye sumu wa jenasi Homoroselaps katika familia Lamprophiidae. Wamepewa jina hili kwa sababu ya milia yao ya rangi nzuri. Wanatokea Afrika ya Kusini.

Nyoka hawa ni wafupi na wembamba, sm 65 kwa kipeo lakini sm 20-40 kwa kawaida. Wana mlia njano au mwekundu kwa urefu mzima wa mgongo na milia myeusi au mabaka meusi mbavuni.

Nyoka-chale hupumzika katika vichuguu na kuwinda kati ya manyasi na katika takataka za majani ambapo hukamata mijusi (mijusi bila miguu hasa) na nyoka wengine wadogo kama birisi.

Chonge ni meno ya nyuma. Nyoka hawa wanaweza kung'ata lakini sumu siyo hatari sana. Hata hivyo inaweza kusababisha kufura na maumivu makali ya kichwa.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Homoroselaps

provided by wikipedia EN
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Wikipedia authors and editors
original
visit source
partner site
wikipedia EN

Homoroselaps: Brief Summary

provided by wikipedia EN

Homoroselaps is a genus of venomous snakes of the family Atractaspididae.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Wikipedia authors and editors
original
visit source
partner site
wikipedia EN

Homoroselaps ( Spanish; Castilian )

provided by wikipedia ES

Homoroselaps es un género de serpientes venenosas de la familia Lamprophiidae que se distribuyen por el África Austral.

Especies

Se reconocen las dos siguientes según The Reptile Database:[1]

Referencias

  1. Uetz, P. & Jirí Hošek (ed.). «Homoroselaps». Reptile Database (en inglés). Reptarium. Consultado el 15 de mayo de 2016.

 title=
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Autores y editores de Wikipedia
original
visit source
partner site
wikipedia ES

Homoroselaps: Brief Summary ( Spanish; Castilian )

provided by wikipedia ES

Homoroselaps es un género de serpientes venenosas de la familia Lamprophiidae que se distribuyen por el África Austral.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Autores y editores de Wikipedia
original
visit source
partner site
wikipedia ES

Homoroselaps ( Estonian )

provided by wikipedia ET

Homoroselaps on maoperekond.

Klassifikatsioon

Perekonda Homoroselaps klassifitseeritakse roomajate andmebaasis järgmised maoliigid[1]:

Viited

  1. Peter Uetz & Jakob Hallermann, Homoroselaps Roomajate andmebaas veebiversioon (vaadatud 17.11.2013) (inglise keeles)

Välislingid

Selles artiklis on kasutatud prantsuskeelset artiklit fr:Homoroselaps seisuga 17.11.2013.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Vikipeedia autorid ja toimetajad
original
visit source
partner site
wikipedia ET

Homoroselaps: Brief Summary ( Estonian )

provided by wikipedia ET

Homoroselaps on maoperekond.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Vikipeedia autorid ja toimetajad
original
visit source
partner site
wikipedia ET

Homoroselaps ( Basque )

provided by wikipedia EU

Homoroselaps Atractaspidinae azpifamiliaren barruan sailkatutako suge genero bat da. Hegoafrika eta Swazilandian bizi dira.

Espezieak

(RLQ=window.RLQ||[]).push(function(){mw.log.warn("Gadget "ErrefAurrebista" was not loaded. Please migrate it to use ResourceLoader. See u003Chttps://eu.wikipedia.org/wiki/Berezi:Gadgetaku003E.");});
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Wikipediako egileak eta editoreak
original
visit source
partner site
wikipedia EU

Homoroselaps: Brief Summary ( Basque )

provided by wikipedia EU

Homoroselaps Atractaspidinae azpifamiliaren barruan sailkatutako suge genero bat da. Hegoafrika eta Swazilandian bizi dira.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Wikipediako egileak eta editoreak
original
visit source
partner site
wikipedia EU

Homoroselaps ( French )

provided by wikipedia FR

Homoroselaps est un genre de serpents de la famille des Lamprophiidae.

Répartition

Les espèces de ce genre se rencontrent en Afrique du Sud et en Eswatini.

Description

Ce sont des serpents venimeux.

Liste d'espèces

Selon Reptarium Reptile Database (2 déc. 2011)[1] :

Taxinomie

Ce genre fut un temps placé dans les Elapidae.

Publication originale

  • Jan, 1858 : Plan d'une iconographie descriptive des ophidiens et description sommaire de nouvelles espèces de serpents. Revue et Magasin de Zoologie Pure et Appliquée, Paris, ser. 2, vol. 10, p. 438-449 & 514-527 (texte intégral).

Notes et références

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Auteurs et éditeurs de Wikipedia
original
visit source
partner site
wikipedia FR

Homoroselaps: Brief Summary ( French )

provided by wikipedia FR

Homoroselaps est un genre de serpents de la famille des Lamprophiidae.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Auteurs et éditeurs de Wikipedia
original
visit source
partner site
wikipedia FR

Homoroselaps ( Polish )

provided by wikipedia POL
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Autorzy i redaktorzy Wikipedii
original
visit source
partner site
wikipedia POL

Homoroselaps: Brief Summary ( Polish )

provided by wikipedia POL

Homoroselaps – rodzaj jadowitych gadów z rodziny gleboryjcowatych (Atractaspididae).

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Autorzy i redaktorzy Wikipedii
original
visit source
partner site
wikipedia POL

Homoroselaps ( Romanian; Moldavian; Moldovan )

provided by wikipedia RO

Homoroselaps[1] este un gen de șerpi din familia Atractaspididae.[1]


Cladograma conform Catalogue of Life[1]:

Atractaspididae Homoroselaps

Homoroselaps dorsalis



Homoroselaps lacteus




Amblyodipsas



Aparallactus



Atractaspis



Brachyophis



Chilorhinophis



Elapotinus



Hypoptophis



Macrelaps



Micrelaps



Polemon



Xenocalamus



Referințe

  1. ^ a b c Bisby F.A., Roskov Y.R., Orrell T.M., Nicolson D., Paglinawan L.E., Bailly N., Kirk P.M., Bourgoin T., Baillargeon G., Ouvrard D. (red.) (2011). „Species 2000 & ITIS Catalogue of Life: 2011 Annual Checklist”. Species 2000: Reading, UK. Accesat în 24 september 2012. Verificați datele pentru: |access-date= (ajutor)Mentenanță CS1: Nume multiple: lista autorilor (link)


Legături externe

Wikispecies
Wikispecies conține informații legate de Homoroselaps
Stub icon Acest articol referitor la o reptilă este un ciot. Puteți ajuta Wikipedia prin completarea sa.
Acest infocasetă: v d mvizualizare discuție modificare
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Wikipedia autori și editori
original
visit source
partner site
wikipedia RO