dcsimg

Msese (Recurvirostridae) ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Wasese hawa ni ndege wa familia ya Recurvirostridae (kusoma kuhusu wasese wengine tazama Msese (Scolopacidae)). Ndege hawa ni weusi na weupe na wana mdomo na miguu mirefu ilio membamba. Huonekana kando ya ziwa, bahari au mito, afadhali kwa maji ya chumvi, ambapo hutafuta chakula kwa kutumia kuiingiza midomo yao katika matope. Hula gegereka wadogo na wadudu wa maji. Hutaga mayai mawili hadi matano ardhini au juu ya majani makavu karibu na maji. Kwa kawaida matago yapo kwa makundi madogo.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Msese (Recurvirostridae): Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Wasese hawa ni ndege wa familia ya Recurvirostridae (kusoma kuhusu wasese wengine tazama Msese (Scolopacidae)). Ndege hawa ni weusi na weupe na wana mdomo na miguu mirefu ilio membamba. Huonekana kando ya ziwa, bahari au mito, afadhali kwa maji ya chumvi, ambapo hutafuta chakula kwa kutumia kuiingiza midomo yao katika matope. Hula gegereka wadogo na wadudu wa maji. Hutaga mayai mawili hadi matano ardhini au juu ya majani makavu karibu na maji. Kwa kawaida matago yapo kwa makundi madogo.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri