Kupe ni arithropodi wa familia Ixodidae katika ngeli Arachnida (arakinida). Hujiama kwenye mwili wa mnyama na kufyonza damu kama chakula. Spishi nyingi ni wasumbufu juu ya wanyama wafugwao na wanaweza kusambaza magonjwa. Kwa kawaida kupe hujificha kwa nyasi au kwa udongo na hungojea wanyama kama ngombe au muzi ili amng'ate na kumnyonya damu. Kupe ni hatari sana maana huenda akawa ameyabeba magonjwa kama ule wa Lyme.
Makala hii kuhusu mdudu fulani bado ni mbegu.