dcsimg

Domofupi ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Domofupi ni ndege wa familia Paridae. Hawa ni ndege wadogo wenye domo fupi na mkia mfupi; spishi kadhaa zina kishungi. Rangi zao si kali sana: kwa kawaida nyeusi, nyeupe, kijivu na/au kahawia, pengine buluu, njano na nyekundu. Wanatokea Afrika, Asia, Ulaya na Amerika ya Kaskazini katika maeneo yenye miti. Hula wadudu na pia mbegu na makokwa. Hulijenga tago lao ndani ya tundu mtini. Jike huyataga mayai 3-19 yenye madoa.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Domofupi: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Domofupi ni ndege wa familia Paridae. Hawa ni ndege wadogo wenye domo fupi na mkia mfupi; spishi kadhaa zina kishungi. Rangi zao si kali sana: kwa kawaida nyeusi, nyeupe, kijivu na/au kahawia, pengine buluu, njano na nyekundu. Wanatokea Afrika, Asia, Ulaya na Amerika ya Kaskazini katika maeneo yenye miti. Hula wadudu na pia mbegu na makokwa. Hulijenga tago lao ndani ya tundu mtini. Jike huyataga mayai 3-19 yenye madoa.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri